“Nahisi kutapika nikisikia KWA MCHINA”-Mwakyembe

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe amepiga vita uwanja wa taifa kuitwa KWA MCHINA kama ambavyo imeanza kuzoeleka siku za hivi karibuni.
Angalia video hapa chini
Waziri Mwakyembe akionesha kukerwa na wanaoiuta KWA MCHINI uwanja wa Taifa. Bofya PLAY
kwenye link ya #YouTube uangalie kupitia

Comments
Post a Comment